Ni Peter na Paul mapacha wengine wakali kutokea west africa pande za Ghana , wakali hawa wanapiga hiP HOP za kufa mtu na wameweza kuiweka Accra katika ramani ya HIP HOP kimataifa pale walipokamilisha na kuingiza sokoni album yao " STRAIGHT UP" mwaka 2012,
Kwa sasa mapacha hawa wanafanyia kazi zao huko pande za finland ambapo waishi na kuendeleza tasnia yao ya muziki wa HIP HOP ,
Bofya hapo chini ujionee video yao ya FUNKY FLAME
No comments:
Post a Comment