Aidha mama Somefood ameamua kumpa shavu muigizaji mkali hapa katika Tasnia ya filamu za kiswahili Kulwa Kikumba aka DUDE ambae alijizolea umaarufu mkubwa kati ya mika ya 2005 hadi 2011 alipokuwa akifanya tamthilia za BONGO DAR ES SALAAM...
Kwa maudhui ya wimbo huo wa "YAHAYA" Dude anafaa haswa kuigiza kama video man katika hiyo song haya natusubirie utamu utakapopakulizwa picha zikionesha baadhi ya vipande vilivyopigwa pale maeneo ya Nyumbani Loudge mgahawa unaomilikiwa na mwanamama JIDE
Bofya hapo chini kuisikiliza YAHAYA
No comments:
Post a Comment